look around you

look around you
mysef

Thursday, March 20, 2014

BRILLIANT FOUNDATION YATEMBELEA KITUO CHA WATOTO YATIMA MGOROLE MOROGORO

Habari za leo wapezi wafuatiliaji wa blog yangu, mimi ni buheri wa afya leo napenda kuwashirikisha kitu kimoja kizuri ambacho nimekifanya nikiwa kama mjasiliamali mdogo, mimi pamoja na wenzangu ambao kwa pamoja tuna Organization ambao imijikita katika kusaidia jamii kwa namna moja ama nyingine. Brilliant Foundation ni kikundi ambacho kinajihusisha na kujitolea kwa jamii kwa namna moja ama nyingine, hapa tulitembelea kituo cha watoto yatima MGOROLE ambacho  kipo MOROGORO, na haya yalijili.

 Hapa tukiwa tumefika na kupata picha ya ukaribisho, ni muhimu sana kujitolea kwa jamii maana sikila aishie dunia hii amekamilika.
 
 hapa tukipata picha za ukumbusho na baadhi ya watoto wa kituo hicho
 hapa tukifurahia na watoto hao jamii inabidi iskae ikasahau kuwa bado wapo watu ambao wanahitaji upendo hivyo inapasa tuwakumbuke


 nawapenda sana wana Brilliant wenzangu sababu nyie ndio manaonisaidi katika namna moja au nyingine nawapenda sana.

Friday, March 14, 2014

MARRIAGE AS AN IMPORTANT STEP IN LIFE YOU SHOULD WATCH THIS

This video it give many answers to many question by which many women have on relationship and marriage i posted not by axcident but i know that it will help many girls out there in knowing what exactly they want from their mens and also to know if they are the right men so i hope it will exactly help many people in their relationship and also marriage

LADIES GOES WITH FASHION I LIKE IT.

this are some tips to how you can look,
in different occations as beauty as they look that is called how do i look?

yah ladies you look great sexy, gorgeous and lovely, independent,

100 TIMES, OMOTOLA JARADE

Am in love with fashion and design so when it comes to it i can not stop talking about my lovely and sexy mama Omotola she is not only an ambassador but also a beauty figure, when it comes to been a fighet in life we must have focus  and people to learn from and she is among of them how can i stop and not talk of you beauty and life style, i think girls and other women should learn from that thats all for today,
yah thats the feminity.

VICTORIA KIMANI

Hivi karibuni tumetembelewa na mwanadada ambaye mimi binafsi namkubali sana pia nazifuatilia na kuzipenda kazi zake karibu sana tanzania na uje tena always the doors are open to you my sister

HARAKATI NA MAISHA

Habari za leo ndugu msomaji mtanzania mwenzangu nachukua fursa hii kuzungumza na wewe leo moja kwa moja nina mengi ila kwa leo nitasema machecho wazo langu kuu ni kuzungumzia harakati mbalimbali ambazo kama mwananchi wa kawaida wa nchi yetu zinakuhusu, yapo mengi leo tunayashuhudia, unafiki wa watu tulio wapa madaraka umekithiri, ila bado kama mwanachi wa kawaida unafanya nini?. Umefika wakati inatupasa tuamke kila mmoja aache umimi hata mimi binafsi kama mwandishi hili linanihushu natamani sana tubadilishe mioyo yetu, ndugu zangu ikohaja kila mmoja arudishe ule uzarendo ambao hivi leo umebaki kwa wachache. Nafahamu kila maskini anahitaji siku moja awe tajiri ila si kila tajiri anatamani siku moja awe maskini, viongozi wa Afrika mnatambua wajibu wenu tunawaomba muutekeleze, Nikiwa kama mwanachi wa kawaida nawageukia wanafunzi wenzangu ambao mmegeuka mabepari wa maisha yenu mkidanganyika na wale walio washika mikono nawaomba mtazame mbele kama mtapaona mtanijibu ni nini mnachokiana natamani vijana tuunganshe nguvu kijenga kesho yetu sikitamani hiki ninachokiona wengi ambao kwao ni kiza wamekata tamaa, na wale ambao Baba ni flani au anamjua flani tangu sasa anacho anacho kifanya najua wewe msomaji unadhani haya yamepita bado mimi nakueleza sisi ndo tuanayaona, nitaongea sana ila kama vijana fulsa zikijitokeza usingoje kudokezwa jitokeze wewe mwenyewe uone ni nini utachokipata haya ni yangu, nawatakia mahangaiko mema.

Wednesday, March 12, 2014

AM BACK ON BUSSINES

Hellow my dear viewers i know you miss me, i had a very tighted semister but now as am near to my complishment hope we can be together again and enjoy together.