look around you

look around you
mysef

Tuesday, July 16, 2013

MWANAUME MMOJA APATA BALAA MSALANI NINI........................


ANG'ATWA NA NYOKA SEHEMU NYETI AKIWA MSALANI

Mwanaume akiwa msalani japo si yule aliyeng'atwa na nyoka.
Mwanaume mmoja ambaye hakutaka jina lake litajwe raia wa Israel ameng'atwa na nyoka sehemu zake nyeti akiwa msalani madaktari wa nchini humo wameeleza.
Mwanaume huyo mwenye umri wa mika 35, aliwaeleza madaktari kuwa aligundua kuwa ameng'atwa na nyoka baada ya kusikia muwasho sehemu zake nyeti ndipo alipoangalia chini na kumuona nyoka mdogo akikimbia.
Madaktari walidai kuwa jamaa huyo alikuwa katika hali nzuri mbali na wasiwasi alioupata baada ya kung'atwa na nyoka huyo ambaye hakuwa na sumu. Daktari mwingine alisema: "hii ni mara yangu ya kwanza kuona mtu ameng'atwa na nyoka sehemu hiyo nyeti.
Kwa bahati nzuri kila kipimo kinaonekana kipo vizuri na mgonjwa anaendelea vizuri."
Kama mwanaume huyo angeng'atwa na nyoka wenye sumu kali kama koboko basi mambo yangekuwa yameharibika kabisa.

MSIBA WA MAMAYAKE Z ANTO



Z ANTO AFIWA NA MAMAYE

Kwa taarifa ambazo zimeenea kwa kasi mjini ni kwamba msanii Zanto amefiwa na mama yake,
ambaye alikuwa ansumbuliwa na ugonjwa wa cancer,
tupo pamoja kaka usijali ni majaribu tu ya ulimwengu, AMEN

MSANII SHILOLE KAMA KAWA............

MSANII ASIYE ISHIWA MATUKIO ADADA VUA KUHUSIANA NA PICHA ZAKE ZA INSTAGRAM ZIKIMUONYESHA AKIWA AMEVAA TAULO

  
Siku kadhaa tangu alipo-post picha akiwa amevaa taulo, huku mitandao ikiripoti kuwa alikuwa supermarket akiwa nchini Marekani, Shilole amekanusha kutembea na taulo supermarket na kusema kuwa alikuwa akiogelea katika swiming pool iliyoko nyuma ya hoteli aliyofikia.
"Ile ilikuwa nipo swiming pool sawa, hoteli niliyokuwa ninakaa ilikuwa na swiming pool pembeni,  unajua miji ya wenzetu bana, imekaa yaaani yaaani ukitizama hivi mtu anaweza akasema, ina maduka meengi, halafu hoteli yetu sisi kubwa chini kuna swimming pool kwa nyuma, kwa hiyo mi nilikuwepo kule nyuma pale swiming pool naoga, nimetoka kuoga ni Masanja ndio akanipiga picha.
kwahiyo hiyo picha mi nimeitupia tu instagram, kwamba hakuna mtu ambae anaweza kama, kama huku Tanzania mtu labda kusema unaweza ukasimamama kutoka hapa, umetoka swmming pool si iko hapa, mtu labda akaanza kukushangaa.
Nimejaribu kuona nimeona wenzetu huko wa Africa, hawana taimu na mtu hata uvae kichupi hana taimu na wewe, yaani kila mtu anafanya  mambo yake, kwasababu hata sasa hivi kule ni kipindi cha summer, kwahiyo watu wanavaa hivi, kwahiyo mi nilivyokua nimevaa vile sio kwamba nilikuwa nimevaa naenda supermarket, nilikuwa naenda swimming pool." 
HUO NDIO UFAFANUZI WAKE

NEY WAMITEGO APOTEZA KABABY

KATIKA HALI ISIYO TEGEMEWA RAPA MAARUFU AMEJIKUTA AKIMPOTEZA MTOTO WAKE, HALI ILIJITOKA PALE MPENZI WAKE ALIPOPATA KIZUNGUZUNGU CHA GHAFLA AKIWA BAFUNI NA KUANGUKA.

 



Girlfiend wa Rapper Ney wa Mitego "Siwema" ambae alikuwa na ujauzito wa Rapper huyo, bad news ni kuwa mimba hiyo imetoka mara baada ya kuanguka akiwa bafuni baada ya kusikia kizunguzungu. Ney wa Mitego ameeleza kisa kilivyotokea.
"Alianguka nini bahati mbaya ndio kama hivyo, namuachia mwenyezi mungu, tutajaaliwa mwingine nafkiri may be ndio itakuwa rizki yetu.
Ilikuwa ijumaa mida ya mchana mchana, alikuwa kazini akasema kichwa kama kinamuuma hivi,akaniambia bana mi natoka hapa sijiskii vizuri acha nirudi home, alivyorudi home akawa ameingia kuoga, alivyoingia kuoga aakajiskia kizungu zungu akadondoka bafuni, akawa amepoteza fahamu kama siku nzima, kwahiyo mwisho wa siku nikawa naongea na Dr, akawa anafight katika juhudi zake zote kasema hapa lazima tuokoe kimoja, kwahiyo tuangalie tufanye nini, tufanya maamuzi ya kitu uzima, kwahiyo tukajua, tukasema no way out inabidi tu afanye tu anachokiweza yeyey Dr." amesema Ney wa Mitego.

MASOGANGE AJIBU

BAADA YA KUSAMBAA HABARI KUWA MASOGANGE YUKO SELO , HUKU IKIWA HAIJULIKANI IKWA NI YEYE KWELI , KATIKA HALI YA KUSHANGAZA BADO UKURASA WAKE WA INSTAGRAM UMEWEKEWA POST MBALIMBALI NA PICHA ZIFUATAZO

IKIWA KAMA MAJIBU  KWA WANAODHANI YUKO SELOOOOOOOO

Baada ya habari za kukamatwa kwa mtanzania Agness Gerald na Melisa Edward, wakiwa na madawa ya kulevya yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 6 kuenea na kuthibitishwa na kamanda wa polisi kitengo cha kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya "Godfrey Nzowa". Agness Jerald ambae wengi wanahisi ni  Aggy Masogange ambae pia yuko nchini South Africa mpaka dakika hii, (ambapo haijajulikana kama ni yeye kweli) ameonekana akiendelea kuandika kupitia mtandao wa instagram licha ya kutangazwa kwa habari hizo.
masaa matatu yaliyopita Aggy alipost picha hii hapo chini na kuandika maneno haya
 na baadae kupost pichaa hii yenye caption hiyo hapo chini

NANDO NA UGONJWA WA ZINAA DUHHH......................

KAKA YETU MPENDWA AMEJIKUTA AKIROPOKA KUA ALIAMBUKIZWA GONJWA LA ZINAA NA MSHIRIKI MWENZAKE KATIKA JUMBA LA BBA

Nando na Selly
kaka yetu anawashwa, kaambukizwa ze ugonjwa la zinaa, mimi nikijuwa watu huwa wanapimwa kwanza, dooooh jamani Nando , Nando ndio maana alikuwa akimchukia Selly baada ya kumenya tunda, na aka m nominate kumbe ulikuwa na lako la rohoni mpaka pale mambo yalipozidi na kusema:

You know I hate that bi*ch !
I'm f*cking frustrated cos that bi*ch *Selly* gave me STD! That's why my blood pressure was high !"



hata hivyo Selly naye ni karuraru maana alikataa condom  watu kutoka Ghana nao wamooo 

muwe waangalifu jamani STD's ni rahisi sana kuambukizwa

ISHU ZA UUZAJI WA MADAWA YA KULEVYA YAMVAA BINTI KIZIWI

KATIKA HALI ISIYO TEGEMEWA WASANII WENGI WA BONGO WAMEJIKUTA WAKIENDESHWA NA TUHUMA ZA UUZAJI WA MADAWA YA KULEVYA, MMOJA KATI YA MADADA AMBAO WALISHA SHIRIKISHWA KATIKA SHOUTING ZA WASANII
 SANDRA AMEJIKUTA AKIKAMATWA NA KUHUKUMIWA NCHINI HONG KONG
  

Sandra a .k. a binti kiziwi

  mwanadada huyu ambaye alikamatwa hivi karibuni sasa hukumu yake imekwisha somwa na atalitumikia Gereza lililopo Hong Kong kwa muda wa miaka mitano ndipo arejee Bongoland.

tunamtakia kila la kheri na kumuombea amalize kifungo salama na arejee nyumbani afanye mengine tena tofauti na hayo ni muda vijana wajifunze na waepukane na tabia , biashara hizi.

BABY MADAH VS WOLPER

MSANII WA MUZIKI AMBAYE PIA NI MUIGIZAJI  AMPONDA MWENZAKE

BABY MADAHA VS JACKIE WOLPER

baby Madaha
MWIGIZAJI wa kike na mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Baby Madaha Joseph amemshukia mwigizaji mwenzake wa kike Jack Wolper kwa kudai kuwa amekuwa akitumia vyombo vya habari kumsema na baadae kujifanya anamuomba msamaha huku hana dhamira ya kweli.

 msanii huyo amesema kuwa  Jack  Wolper anatumia jina lake ili apande na kuwa Maarufu (nyota ).

Mimi ni mwanamke mpigaji na ninajua ninachofanya katika maisha yangu...

"Kuna wanawake hawajui misingi ya sanaa.Ni wanawake ambao  wamevamia fani na kutuharibia  sifa  zetu  kama  wasanii..

"Mimi siwezi kugombana na mtu mwenye fani moja ,tena  ya kubebwa . Jack hana cha kufanya akifeli kuigiza labda arudie kazi yake ya kuuza vipodozi...Atafanya nini kingine hapa mjini zaidi  ya  kujiuza?,”alisema Baby Madaha  na  kuongeza: 

“Jack anataka kukiki kwa kunichafulia jina langu, lakini mimi ni Star mwenye vision na najua nafanya nini katika Industry..

"Mimi ni kiongozi mtarajiwa .Nategemewa niongoze watu , sasa nikianza kugombana na watu itaniharibia  ndoto zangu za kisiasa,” 


MWISHO ALISHAURI KITU HAPA CHINI

JACK WOLPER ANATAFUTA UMAARUFU KUPITIA JINA LANGU....KAMA SANAA IMEMSHINDA BASI AKAJIUZE AU AKAUZE VIPODOZI"...BABY MADAHA

mtuhumiwa wa baby Madaha
Jackie Wolper
Copyrighted from unstopable

LULU ATEGUA KITENDAWILI KILICHO KUWA KIKISUBILIWA KWA HAMU NA WATANZANIA

MSANII MKONGWE KATIKA TASNIA YA FILAMU AMBAYE HIVI KARIBUNI ALIACHIWA KWA DHAMANA KUTOKANA KUHUSISHWA NA KIFO CHA STAA MWENZAKE AL MAARUFU KAMA {STEVEN KANUMBA} ELIZABETH MICHAEL MAARUFU KWA JINA LA LULU, KWA MARA YA KWANZA TOKA ATOKE GEREZANI MAMEFANYA INTERVIW YAKE YA KWANZA KATIKA KIPINDI CHA TAKE ONE KINACHORUSHWA HEWANI NA CLOUDS TV, LULU ALIZUNGUMZIA JINSI GANI JERA IMEBADILISHA MAISHA YAKE, DINI IMEKUWA NA NAFASI KATIKA MAISHA YAKE, PIA KUACHIA HAYO ALIZUNGUMZIA MAHUSIANO BAINA YAKE NA MAREHEM STEVEN KANUMBA, KITENDO CHA KUUELEZA UMMA WAZI UHUSIANO WAKE AMBAO ALITHIBITISHA ULIKUWA WA KIMAPENZI NA ULIDUMU KWA MDA MREFU UMEYAJIBU MASWALI YA WATANZANIA, ILA BADO TUNAMUOMBEA KWA MUNGU AMJAZE NGUVU NA ASICHOKE KUTAFUTA RIZKI YAKE KWA NJIA YA SANAA AMBAPO YEYE MWENYEWE AME AHIDI ATAIKUZA ZAIDI
                
                      

Wednesday, July 3, 2013

MICHELLE OBAMA TALK WITH TANZANIAN LADIES

I have to admit this was very shocking to me after i watch the conversation of the meeting of the presidents wives which took place by this week, The one and only president wife of America
Michell Obama when she pronounced on public that the medias around the world should stop, avoid publishing the information on how wives of president dress up and start publish what they do to help the society. I loved not only what she said but her personal ability and pride of been a president wife not in papers but in liarity,
                        
having a very wonderful smile with brain of freedom

MAPOKEZI YA OBAMA DAR YA ZIZIMA

BAADHI YA PICHA ZA MAPOKEZI HAYO HAPA DAR PALE IKULU HALAIKI ILIVYOTAYARISHWA YALIKUWA NI MOJA KATI YA MAPOKEZI YA KIPEE  KABISA RAIS WA KWANZA MWAFRIKA KUITAWALA MAREKANI LEO YUPO TANZANIA.