look around you

look around you
mysef

Tuesday, July 16, 2013

MASOGANGE AJIBU

BAADA YA KUSAMBAA HABARI KUWA MASOGANGE YUKO SELO , HUKU IKIWA HAIJULIKANI IKWA NI YEYE KWELI , KATIKA HALI YA KUSHANGAZA BADO UKURASA WAKE WA INSTAGRAM UMEWEKEWA POST MBALIMBALI NA PICHA ZIFUATAZO

IKIWA KAMA MAJIBU  KWA WANAODHANI YUKO SELOOOOOOOO

Baada ya habari za kukamatwa kwa mtanzania Agness Gerald na Melisa Edward, wakiwa na madawa ya kulevya yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 6 kuenea na kuthibitishwa na kamanda wa polisi kitengo cha kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya "Godfrey Nzowa". Agness Jerald ambae wengi wanahisi ni  Aggy Masogange ambae pia yuko nchini South Africa mpaka dakika hii, (ambapo haijajulikana kama ni yeye kweli) ameonekana akiendelea kuandika kupitia mtandao wa instagram licha ya kutangazwa kwa habari hizo.
masaa matatu yaliyopita Aggy alipost picha hii hapo chini na kuandika maneno haya
 na baadae kupost pichaa hii yenye caption hiyo hapo chini

No comments:

Post a Comment