look around you

look around you
mysef

Thursday, December 19, 2013

KIUNO BILA MFUPA PARTY 2, WHAT IS THIS ???????

ACHEL ASAKA BWANA WA ‘KUMBONJI’ NAYE KENYA




MWANAMUZIKI Winfrida Josephat ‘Rachel’ juzikati aliwashangaza watu baada ya kudai kwamba siku hiyo baada ya shoo yao akiwa na Kundi la Kigoma All Stars mjini Nairobi alikuwa akitafuta bwana wa kumpa kampani usiku bila mafanikio.
 
Rachel akijiachia na shabiki wake stejini.
Mtandao mmoja wa Kenya wa Standard Digital News uliandika kuwa, siku hiyo baada ya shoo akiwa anazungumza na mapaparazi wa huko binti huyo alisema alikuwa akitaka mtu wa ‘kujivinjari naye’ lakini akafedheheka kwa kumkosa yule wa kumpa furaha ya kimahaba.
 
Rachel akiwa kazini.
Gazeti moja la habari la Global Publisher  lilimtafuta Rachel kupitia simu yake ya mkononi kuzungumzia hilo na  alipopatikana alisema:
“Mimi kuongea hivyo si kitu cha ajabu kiasi cha kuifanya mitandao ya Kenya inicharukie. Kwani kuna ubaya gani kusema natafuta mtu wa kuniridhisha? Ile ni mbinu tu ya kuwateka mashabiki.”

HOTLULU WHERE IS THAT SEXY BODY COMES FROM,,, LOOK HERE

THIS IS WHERE HOTLULU  SEXY BODY COMES FROM!



SIRI ya muonekano mzuri wa msanii wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ imefichuka baada ya kubainika kuwa, amekuwa akifanya mazoezi kila siku kwa kwenda gym.
Lulu akifanya mazoezi.
Lulu alianika siri hiyo hivi karibuni kupitia mtandao wa instargram kwa kutupia picha zikimuonesha akiwa kwenye tizi na baadae alipozi na kujifotoa picha ambazo zilimuonesha akiwa na umbo la kuvutia zaidi huku zikisindikizwa na maneno yasemayo; ‘ndiyo siri ya urembo’.
Hata hivyo, baadhi ya watu walioziona picha hizo walimpongeza kwa uamuzi wake huo huku ushauri pia ukitolewa kwa kila mmoja kujali afya yake kwa kufanya mazoezi pale muda unapopatikana. Yah nivizuri tuiali miili yetu

A BEATY SUPER STAR MWENGELO STIIL GOT SOMETHING TO GIVE HERE IT IS....

Jokate Mwegelo azindua Kidoti Club

Baada ya kutamba na mitindo ya nywele na nguo aina ya Kidoti brand, msichana mwenye vipaji vingi hapa nchini, Jokate Mwegelo aimeanzisha klabu yake ijulikanayo kwa jina la Kidoti Club.
Akizungumza katika uzinduzi wa klabu hiyo jana, Jokate alisema kuwa Kidoti Club ni tofauti na vilabu vingine kwani katika ujio wake huo mpya, atakuwa anajihusisha na mambo mbali mbali katika jamii husani masuala ya urembo na mitindo. Jokate pia alizindua aina mpya ya nywele zake za kisasa katika mtindo wa kidoti Brand.
Jokate alisema kuwa kupitia klabu yake atakuwa anatoa ushauri mbali mbali katika jamii na ikiwa pamoja na taarifa za muziki, filamu, wasanii mbalimbali na nyinginezo kwa ajili ya rika tofauti. Alisema kuwa lengo lake kubwa ni kupanua mtandao wake kwa jamii na anaamini watu wengi watajiunga naye.
Kwa mujibu wa Jokate ambaye ni Miss Tanzania namba mbili mwaka 2006, ili uwe mwanachama wa klabu hiyo, unatakiwa kutuma neno kidoti kwenda namba 15678 na kuanza kupata taarifa mbalimbali kutoka kwake katika kampeni hiyo ijulikanayo kwa jina la Kidoti Ng’aring’ari.
 “Huu ni mfumo wa kisasa katika kutoa taarifa mbali mbali kwa jamii,Beyonce amefanya hivyo na kwa sasa hakuna mtu anayeingia katika shoo zake bila kuwa mwanachama wa klabu yake, mimi pia naelekea huko kwani nitaweka taarifa zangu mbali mbali na ili kupata lazima uwe mwanachama,” alisema Jokate ambaye pia ni mtangazaji na mbunifu wa mavazi.
Alisema kuwa pia ataendesha mashindano mbalimbali kwa wanachama wake na kutoa zawadi kwa washindi.
 “Kama unavyojua, lengo langu kubwa ni kutumia ujuzi na kipaji chake kwa watanzania wote, nataka wafaidike na vipaji vyangu name kusimama mwenyewe katika maisha bila ya kumtegemea mtu yoyote, natoa wito kwa vijana wenzangu kuwa wabunifu katika kukabiliana na masuala mbali mbali ya maisha,” alisema. Ys sis tupo pamoja sana, hii iwechangamoto kwetu vijana wadogo na wenye nyota ya kufanya mambo makubwa

Wednesday, December 18, 2013

DIAMOND IS DATING SOMEONE ELS HEYYYYY.........

Tanzanian Singer "Diamond" has a new Girlfriend!!

 This Fashion Icon in the Tanzanian music industry told Millard Ayo on "Amplifaya" on Clouds Fm,..that,he is dating another girl for almost two months now...And he wants it..(the relationship) to stay low since his new girl is not a celebrity and he (Diamond) is trying to avoid scandals like what happened to his former relationship!
 Now...you all remember the "Diamonds are Forever" concert of last month? In that concert,we got to see the really status of the relationship between Diamond and his former girlfriend,Wema Sepetu(former Miss Tanzania). Diamond poured his heart out,and as per his song lyrics,he seemed hurt pretty bad!!
So,when he refused to aknowledge Wema's "generosity"......we knew it was over...and we gossiped much on "who is the new girlfriend?"...Some rumoured it to be Jokate...BUT now the news is out...Its NOT Jokate...the new girlfriend is just a girl next dooor,and not a Tanzanian celeb/superstar...we are yet to capture a picture of the two.....
Relationship is along way to go so brother play your cards,,,,,,,,,,

WATU 200 WANUSURIKA KUFA KUTOKANA NA AJALI MBAYA YA NDEGE

Muonekano wa ndege ya Ethiopian Airline baada ya kutua kwa dharura.
Watu 200 waliokuwa wakisafiri kwa ndege ya Ethiopian Airline wanusurika kufa baada ya ndege kupitiliza hadi nje ya uwanja mdogo wa ndege wa Arusha baada ya kutua kwa dharura.

MADAHA AFUNGUKA

Baby Madaha adai maneno ya watu yaliyosabisha aingie kwenye Mapenzi na Meneja wake (Mkenya)

Kama ningekuwa Soud Brown aka Gossip Cop basi ningetumia msemo wa U Head!!!Hivi sasa sio siri tena kwani Baby Madaha ameamua kukiri na kuweka wazi kuhusu uhusiano wa kimapenzi na bosi wa Candy n Candy 'Joe Kariuki'
Msanii huyo wa filamu na muziki hapa nchini Tanzania Baby Joseph Madaha,ameimbia Global Publishers kuwa mwanzo yeye na Meneja wake hawakuwa na uhusiano wa kimapenzi toka aanze kusimamiwa kazi zake,lakini kutokana na maneno ya watu kumzushia ambacho kitu akipo basi ndio kilichompelekea aingie kweli kwenye Mapenzi na Meneja wake.
' “Kusema kweli huyu kaka kanikoleza jamani japo watu watachonga mengi lakini abadani sitosikiliza maneno yao, kwa kuwa awali sikuwa na uhusiano naye ila porojo za watu zilipelekea kuchukua maamuzi hayo natamani niamie Kenya ili tuwe karibu wakati wote,”alisema Baby Madaha.

Aliongeza kuwa kikubwa kilichompelekea kuwa naye ni kutokana na upendo wake wa kweli alionao kwake siyo kutokana na suala la mkwanja kama wengi wanavyodhani.
As copyrighted from Dj Fety

BRILLIANT FOUNDATION BRINGS TO YOU A NEW YEAR BASH PARTY IN MZUMBE UNIVERSITY

WALE VIJANA MACHAHARI KATIKA UANDAAJI WA SHUGHURI MBALIMBALI CHUO KIKUU MZUMBE WANAKULETEA THE NEW YEAR BASH PARTY UKIWA KAMA MWANAJUMUIYA YA CHUO HIKI HUPASWI KUMISS PARTY HII NJOO NA MWENZAKO  31/12/2013

that is what am talking about do not miss this or els do not blame yourself, njoo tujumuike pamoja

THIS WAS MY YEAR

HELLOW MY DEAR VIEWRS HOPE YOUR ALL FINE, I CAN NOT STOP CONTINUE THANK MY LORD FOR THIS PERFECT YEAR IT WAS ALL WEL AS NOW AM APROACHING THE END, I KNOW YOU HAVE WHAT YOU WANT TO WRITE SEND ME WHAT WAS PERFECT TO YOU IN THIS YEAR AND I WILL DEFENETRY POST IT HERE,  STAY WITH ME

Tuesday, December 3, 2013

WHEN IT COMES TO FASHION THIS IS CALLED RED


MUSTAFA HASSANALI  TAKEN RED INTO POSITION WITH KIKI

copywrited from M.P
  When it comes to fashion you cannot stop mention one of Tanzania big designers and in this festival it happen a spectacular fashion parade by Tanzanian designers,during the Red Ribbon Fashion Gala 2013...Well,here are designs from Mustafa Hassanali and Kiki Fashions....




Mustafa Hassanali kept his signature (drapes and tails)..

From Kiki Fashions:


Kiki mixed prints and lace to give one sexy look in her designs...
Ooooh by the way..all make up for the models was done by Rehema Samo...
Did I mention how much i looooved this print?!

Wednesday, November 6, 2013

BAADA YA KUKATALIWA NDOA YVONNE ASONGA MBELE NA MAISHA YAKE

Iyanya akataa ombi la ndoa kutoka kwa muigizaji mrembo Yvonne Nelson

Muigizaj mrembo kutoka Ghana "Yvonne Nelson, ameachana na muimbaji Iyanya mara tu baada ya kumpa story kuhusu ndoa na kukataliwa.

Yvone alitaka kupeleka mahusiano yake na Iyanya katika levo nyingine, lakini hawakuwa katika ukurasa mmoja,Ripoti kutoka kwa mtu wa karibu wa Yvonne zinadai kuwa muigizaji huyo alimuambia Iyanya kuwa anataka ndoa na kumfanya awe mumewe rasmi, lakini jinsi alivyoichukulia ilimshtua sana,maana Iyanya anahisi ni mapema sana kuongelea ishu hiyo.
mtu huyo wa karibu aliendelea kuelezea kwanini mwanadada huyo aliumia baada ya kujibiwa hivyo..
"wakati msichana akikuambia kuwa anakupenda na anataka mahusiano hayo yasonge mbele na kuaza maisha rasmi na wewe na hata kuwa na wewe kama mume wake na ukamkatalia, hiyo ni mbaya sana, ni kama kusema, mchezo ndo umeishia hapo" alisema mtu huyo

TIWA AKANA KUWA MJAMZITO HAHAHHH

Tiwa Savage, akana maneno yaliyo zagaa mitaani kuwa yeye ni mjamzito,

Muimbaji kutoka Nigeria Tiwa Savage (33) amekanusha tetesi za kuwa ana ujauzito. akiongea kuhusu habari zilizoandikwa kupitia blogs mbalimbali kuwa anaujauzito na kuonyesha picha iliyomuonyesha na tumbo kubwa kuliko alivyozoeleka.
Tiwa amesema hana ujauzito na kudai kuwa alikula chakula ambacho kilikuwa kimepikwa na mafuta dizaini ya donati iliyomfanya tumbo lake kuonekana kubwa kuliko kawaida
Tiwa Savage ambae kwa sasa ana mahusiano na aliekuwa manager wake Tee Bills anatarajia kufunga ndoa ya kimila jumamosi ya terehe 23, Lagos, Nigeria.
hivi karibuni Tiwa Savage ameachia video mpya akiwa na Don Jazzy "Eminado"

THIS TYPE OF CLOTHES HELL NOOOOOO.

IF YOUR IN LOVE WITH FASHION BUT WHEN IT COMES TO THIS 

OUTFIT HELL NO.

 WOULD YOU ROCK THIS DRESS??

kwa mbele 

enjoy na nyuma pia
na kakumbatiana na hubby
wake burudaniiii
Actress Jamie Alexander 

kwa pembenii
jamani mapaparazi
wanashughuli
sana



Ukiambiwa kuwa uyaone si maghorofa yanaoendelea kujengwa mjini, ni maajabu ya walimwengu wa dunia hii, na swagga zao haya publicity ni publicity iwe mbaya ama nzuri, dada Jamie Alexander alikitinga hiki kivazi wajameni na roho yake burudaniii huku akiwageuzia paparazzi  pose tofauti wafyatue wajisikiavyo...,

MHHHHHHHHHHH MAPENZI NI WITO.

WADADA KAENI CHOCHONJO SIO EVERY MAN IS A HUSBAND

Jimy n Nadia
Wadada hamna kitu kibaya kama kuji squeezekwa mwanaume, utakuta mwanaume hana hata ndoto za kukuo wewe tena ndio unajipa ma hopes all the time kujipeleka peleka, na hizo pics za ma bf mnazoweka ktk social network angalieni jamani msije mkaumbuka bandugu

yamemkuta dada Nadia ooh naolewa mara vile kiruuu njemba limekana namna hii


baada ya hapo dada yetu akaona ya nini namna hii, kujipatia shida akaondoa pics zote za muzeeey

wapenzi ushauri wa bure tuu, usijitie mbwembwe nyingi kuweka pics ya bf  ktk mitandao baadae unazitoa fastaa kwanza jiulize mko wangapi?? usijie mahabani na wakati mwenzio anajionea air air, kama ni mume bibi jiwekee kwa raha zako lakini BF BIG NOOOOOO 
What can i comment be sure before start rumour around about your man.

MISS UNIVERSE AS IT TOOK PLACE BY THIS TUESDAY, BEAUTY FACES OF AFRICA.

 THE CROWN MISS UNIVERSE  SWIM COSTUMES.


Miss Universe does its things a little different from many beauty contests...The Finals start in phases and the

 final event is mainly an announcement of various winners of different categories and the crowning of Miss

 Universe. So,at the Preliminaries that took place on Tuesday,here are our African beauties,in their swim costumes.
Angola
Botswana
Ethiopia
Gabon
Ghana
Namibia
Nigeria
South Africa
Annnd...Tanzania...

COPYRIGHTED M.P BLOG

Tuesday, November 5, 2013

ONE OF GLAMALOUS, BETTY TAKEN SOME SHOOTS FOR MISS UNIVERSE 2013,

GOOOO,,,, BETTY

 I can imagine the happiness on the face of Fadil Berisha, the photographer who did these amazing images of

 the Miss Universe 2013 beauties! Our Tanzanian girl,Betty..looked amazing in each and every shot!


This is what you can call,spoilt for choices! heheheh... This girl knows what she is doing and is so aware of her rare beauty and features...Ice Queen presented at its best! Great job Betty...

MAANDALIZI YA MISS MZUMBE TALENT CONTEST YAMEPAMBA MOTO,


IKIWA IMEBALKI WIKI MOJA TU YAFANYIKE MASHINDANO KABAMBE YA KUMSAKA

MALKIA WA CHUO KIKUU CHA MZUMBE WASHIRIKI WOTE WAKIWA MATUMBO JOTO

SCHOLASTICA BLOG INAWATAKIA MAANDALIZI MEMA,.



Saturday, August 31, 2013

MAHUSIANO

MAKOSA 10 WANAWAKE HUYAFANYA WAKIWA FARAGHA

Kitanda kina kanuni zake. Kuna makosa mengi hufanywa na wanawake, vilevile yapo ambayo wanaume huyafanya. Si sawa kuyaacha yaendelee kuwepo kwa sababu faragha ni hatua muhimu katika ukamilishaji wa kitu kinachoitwa penzi.
Uhusiano wa kimapenzi una wigo mpana. Kuna mambo mengi ambayo yakifanywa huufanya mwili uwe na afya. Hata hivyo, suala la faragha halipaswi kusahaulika, kwa maana ni chachandu madhubuti.
Tendo la faragha lina nguvu sana katika kuuweka hai uhusiano. Wapo watu ambao picha zilikuwa haziendi katika maisha ya kawaida lakini kila wakikutana kitandani, kila mmoja alimvulia kofia mwenzake.
Hii ina maana kuwa inawezekana mwenzi wako akawa dhaifu katika maeneo mengine lakini ‘maujuzi’ yake faragha, yakakufanya uwe mtulivu kwake.
Vivyo hivyo, nawe hakikisha unampatia mwezi wako katika eneo fulani ili hata akikufanyia visa, basi uwe na ukurasa wako ambao akiufikia ni lazima akuvulie kofia. Faragha ni uwanja huru ambao ambao hudhaniwa ni mgumu lakini ni rahisi sana.
Haihitaji msuli mkubwa wala nguvu kama za samba. Usidanganyike kwenda kutumia madawa ya kuongeza nguvu wala kwenda kwa waganga eti ndiyo wakuboreshee mvuto wako. Tuliza kichwa, soma kitendo chenyewe halafu hakikisha hufanyi makosa.
Katika makosa mengi ambayo wanawake huyafanya wakiwa faragha, ndani ya mada hii, nimeyaunganisha na kuyafanya yasomeke 10. Nikuhakikishie kuwa ukiyaepuka na kufuata mwongozo sahihi, utakuwa bora sana.
Mambo mengi hayahitaji taaluma, ni suala la kuushirikisha ubongo ili uamue kinachotakiwa. Mathalan; kuzungumza na mwenzi wako kumuuliza nini umfanyie ili afurahie tendo au kumwelewesha cha kufanya aweze kukupatia, haihitaji maarifa mengi au uwezo wa juu kiakili.
Kujifanya unajua sana husababisha wengi kuchemka. Achana na tabia ya kuhisi wewe umekamilika na kujidanganya kwamba unafahamu kila kinachotakiwa katika uwanja mahsusi wa faragha. Inakugharimu kiasi gani kuzungumza naye ili akujuze mahali hisia zake zilipolalia?
Yupo mwanamke ambaye tangu anazaliwa mpaka anakua, amekariri kwamba ukiwa faragha dawa ni kuzungusha ‘bakuli’ mwanzo mwisho. Matokeo yake, anakutana na mwenzi wake, badala ya kusoma mahitaji yake, yeye akili, nguvu na ujuzi wake wote anauelekeza katika nyonga tu. Mauno mtindo mmoja.
Hajui kwamba pengine mwenzi wake hapendi purukushani za kupanda na kushuka. Inapotokea wewe ni mtaalamu wa kucheza juu ya msumari (wana wa unyago mnaelewa), dakika 90 hushushi mzigo chini, ukidhani unamfurahisha, kumbe unageuka kero kwa mwezio.
Inaweza kutokea umekariri kuwa ukiwa katika utekelezaji wa sanaa ya faragha lazima uporomoshe mayowe. Japo ni nzuri katika kupata mrejesho (feedback) wa tendo lenyewe lakini si ajabu mwenzako hafurahii hilo. Zungumza naye tafadhali.
Hekima za tendo zinakataa ububu, lazima muwe mnaambiana mara kwa mara. Kama siku hajakutendea haki, mweleze waziwazi kwamba hajakufikisha. Ukimwacha afanye anachotaka na anachojisikia yeye, mwishowe haitakuwa na msisimko kwako.
Tengeneza utofauti wa makutano ya mbuzi na binadamu. Maana beberu huwa hajui maana ya kumwandaa jike. Anapojisikia kupanda anafanya hivyo na anapotosheka anashuka. Wewe na mwenzi wako hamna budi kuwa na nidhamu. Hisia ziheshimiwe.
Ikiwa mtatenda kwa makubaliano, kila mmoja akifuata maelekezo ya mwenzi wake, akitilia mkazo yale maeneo ambayo yametajwa katika mazungumzo kwamba ndiyo huleta raha, basi raha huwa raha kweli. Zingatia mambo 10 yafuatayo;Tuungane katika sehemu ya pili

MZEE MAGALI HAKUMBUKI KACHEZA MUVY NGAPI?

ETI MZEE MAGALI HAKUMBUKI IDADI YA FILAMU ALIZOCHEZA

KATIKA hali iliyoonesha kushangaza wengi, hivi karibuni staa wa sinema za Kibongo, Charles Magali ‘Mzee Magali’ alisema eti hakumbuki idadi ya filamu alizoigiza wala majina yake.
Mzee Magali aliibua kituko hicho wakati akibadili nguo kuingia kurekodi filamu mpya ya Pasuko la Moyo ya Quick Promotions ambayo itaingia barabarani Septemba 17, mwaka huu.
“Mimi kazi yangu ni kukamua tu, sijui nimeshacheza filamu ngapi, sikumbuki hata majina yake, wanajua wenye filamu, ninayoijua ni hii ya Pasuko la Moyo kwa sababu ni mpya, kwa hiyo kuanzia sasa naanza kuzishika kichwani,” alisema mzee huyo kwa sauti kali